Ingia / Jisajili

BWANA AMEJAA HURUMA

Mtunzi: Peter.g.lulenga
> Mfahamu Zaidi Peter.g.lulenga
> Tazama Nyimbo nyingine za Peter.g.lulenga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Geophrey Lulenga

Umepakuliwa mara 495 | Umetazamwa mara 2,017

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                                                                    BWANA AMEJAA HURUMA

KIITIKIO:Bwana amejaa huruma na neema(Bwana),Bwana amejaa huruma na neema x2.

MASHAIRI

1.Ee nafsi yangu umhimidi Bwana  naam  vyote vilivyomo ndani yangu vilihimidi jina lake takatifu ee nafsi  yangu  umhimidi Bwana wala usizisahau fadhili zake zote.

2.Akusamehe maovu yako yote akuponya magonjwa yako yote aukomboa uhai wako na kaburi aukomboa uhai wako na kaburi akutia taji ya fadhili na rehema.

3.Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki na hukumu zake kwa wote wanaoonewa  alimjulisha Musa njia yake alimjulisha Musa njia yake wana wa Israeli matendo yake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa