Mtunzi: Joseph Nyarobi
> Mfahamu Zaidi Joseph Nyarobi
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Nyarobi
Makundi Nyimbo: Tenzi za Kiswahili | Mwanzo
Umepakiwa na: Joseph Nyarobi
Umepakuliwa mara 989 | Umetazamwa mara 2,762
Download Nota Download MidiKIITIKIO
Bwana atukuzwe milele na milele, milele, atukuzwe milele, milele, Bwana atukuzwe milele X2
Beti
1. Yesu Kristo kwa asili alikuwa daima Mungu, alikuwa daima Mungu
2. Ila kwa kutaka yeye mwenyewe aliachilia hayo, hayo yote akawa sawa na mwanadamu
3. Alijinyenyekeza na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani