Ingia / Jisajili

Ee Bwana fadhili zako zikae nasi

Mtunzi: Valentine Ndege
> Mfahamu Zaidi Valentine Ndege
> Tazama Nyimbo nyingine za Valentine Ndege

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Valentine Ndege

Umepakuliwa mara 1,506 | Umetazamwa mara 3,022

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana fadhili zako zikae nasi kama vile tulivyo kungoja wewe

1. Kwa kuwa neno la Bwana lina adili, na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu, huzipenda haki haki na hukumu,     nchi  imejaa fadhili za Bwana.

2. Tazama jicho la Bwana li kwao wamchao, wazingojeao fadhili zake, yeye huwaponya nafsi zao na mauti na      kuwahuisha wakati wa njaa.

3. Nafsi zetu zinamngoja Bwana, zinamngoja Bwana yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu, ee Bwana fadhili zako zikae nasi kama vile tulivyokungoja wewe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa