Ingia / Jisajili

BWANA ATUBARIKI

Mtunzi: Finias Mkulia
> Mfahamu Zaidi Finias Mkulia
> Tazama Nyimbo nyingine za Finias Mkulia

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Ndoa

Umepakiwa na: FINIAS MKULIA

Umepakuliwa mara 534 | Umetazamwa mara 1,846

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Bwana atubariki siko zote siku zote za maisha yetu.

MASHAIRI

1.(A) Heri kila mtu amchaye Bwana, aendaye katika njia zake.(b)Taabu ya mikono yako hakika utaila,utakuwa mwenye heri na baraka tele.

2.(a)Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao, nyumbani mwa nyumba yako.(B)Wanao kama miche miche ya mizeituni wakiizunguka meza yako.

3.(a)Hakika atabarikiwa yule amchaye Bwana,Bwana akubariki toka sayuni(b)Uone uheri wa yerusalemu,siku zote za maisha yako.



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa