Ingia / Jisajili

EE MUNGU UNIOKOE

Mtunzi: Peter.g.lulenga
> Mfahamu Zaidi Peter.g.lulenga
> Tazama Nyimbo nyingine za Peter.g.lulenga

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Geophrey Lulenga

Umepakuliwa mara 923 | Umetazamwa mara 2,492

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                                                                         EE MUNGU UNIOKOE

Ee Mungu uniokoe,  ee Mungu  uniokoe,  ee Bwana  unisaidie hima X2.Ndiwe msaada wangu, na mwokozi wangu, ee Bwana usikawie kunisaidia X2.

MASHAIRI:

1.Waaibike wafedheheke wanaoitafuta nafsi yangu,warudishwe nyuma watahayarishwe.

2.Washangilie wakufurahie waupendao wokovu wako,waseme daima atukuzwe Mungu.

3.Nami ni maskini na mhitaji  ee Mungu   unijilie kwa haraka,ndiwe msaada wangu ee Bwana usikawie.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa