Ingia / Jisajili

Ingekuwa Heri Leo

Mtunzi: Alan Mvano
> Mfahamu Zaidi Alan Mvano
> Tazama Nyimbo nyingine za Alan Mvano

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alan Mvano

Umepakuliwa mara 4,252 | Umetazamwa mara 8,929

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

( Ingekuwa heri leo muisikie sauti yake ) x2

( Msifanye migumu, msifanye migumu, msifanye migumu mioyo yenu ) x2

Mashairi

1. Njoni tumwimbie Bwana tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu

    tuje mbele zake kwa shukrani, tumfanyie shangwe kwa zaburi

2. Njoni tuabudu tusujudu tupige magoti mbele za Bwana aliyetuumba, kwa maana yeye ndiye Mungu wetu

     nasi tu watu wa malisho yake na kondoo za mkono wake

3. Msifanye migumu mioyo yenu kama vile huko Meriba, kama siku ile huko Masa jangwani, hapo wazee wenu waliponijaribu

     wakanipima wakayaona matendo yangu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa