Maneno ya wimbo
KWA SAUTI YANGU NITAMLILIA BWANA.KWA SAUTI YANGU NITAMWOMBA BWANA DUA.X2(: NITAFUNUA MBELE ZAKE MALALAMIKO YANGU.SHIDA ZANGU NITAITANGAZA MBELE ZAKE.X2 fine 1.Nilipozimia Roho uliyajua Mapito yangu.katika njia niendayo wamenifichia mtego. 2.Utazame mkono wa kuume ukaone.Kwa maana Sina mru anijuaye.makimbilio yamenipotea.Hakuna wakunitunza Roho. 3.Bwana nimekuita nikasema ndiwe kimbilio langu.fungu langu. Katika nchi yawalio hai . 4.Ukisikilize kilio changu.kwa maana nimedhilika sana. Uniponye nao wanaonifuatia kwa maana wao niodari kuliko Mimi. 5.Uitoe nafsi yangu kifungoni.nipate kulishukuru jina Laki.wenye haki watanizunguka kwa kuwa wewe unanikirimu.
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu