Maneno ya wimbo
KWA SAUTI YANGU NITAMLIA BWANA.KWA SAUTI YANGU NITAMWOMBA BWANA DUA x2(;NITAFUNUA MBELE ZAKE MALALA MIKO YANGU SHIDA ZANGU NITAITANGAZA MBELE ZAKE .x2 FINE 1.Nilipozimia Roho.uliyajua mapito yangu.katika njia niendayo wamenifichia mtego. 2.Utazame mkono wakuume ukauone kwa maana Sina mtu anijuaye.makimbilio yamenipotea.hakuna wakunitunza Roho. 3.Bwana nimekuita nikasema ndiwe kimbilio langu funguo langu. Katika nchi ya walipo hai. 4.Ukisikilize kilio changu.kwa maana nimedhiilika sana uniponye nao wanaonifuatia. kwa maana wao niodari kuliko Mimi. 5.Uitoe nafsi yangu kifungoni.nipate kulishukuru jina lako.wenye haki watanizunguka kwa kuwa wewe ni mkarimu .
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu