Ingia / Jisajili

Kwa Sauti Yangu Nitamlia Bwana

Mtunzi: M.p. Makingi
> Mfahamu Zaidi M.p. Makingi
> Tazama Nyimbo nyingine za M.p. Makingi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Michael Makingi

Umepakuliwa mara 20 | Umetazamwa mara 46

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
KWA SAUTI YANGU NITAMLILIA BWANA.KWA SAUTI YANGU  NITAMWOMBA BWANA DUA.X2(: NITAFUNUA MBELE ZAKE MALALAMIKO YANGU.SHIDA ZANGU  NITAITANGAZA MBELE ZAKE.X2 fine     1.Nilipozimia Roho uliyajua Mapito yangu.katika njia niendayo wamenifichia mtego.                                   2.Utazame mkono wa kuume ukaone.Kwa maana Sina mru anijuaye.makimbilio yamenipotea.Hakuna wakunitunza Roho.                                                              3.Bwana nimekuita nikasema ndiwe kimbilio langu.fungu langu. Katika nchi yawalio hai .                                                  4.Ukisikilize kilio changu.kwa maana nimedhilika sana. Uniponye nao wanaonifuatia kwa maana wao niodari kuliko Mimi.                                                   5.Uitoe nafsi yangu kifungoni.nipate kulishukuru jina Laki.wenye haki watanizunguka kwa kuwa wewe unanikirimu.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa