Ingia / Jisajili

Mungu Unihifadhi Mimi Kwa Maana Nakukimbilia Wewe

Mtunzi: Erick Mwaniki
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Mwaniki

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 383 | Umetazamwa mara 1,267

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
MUNGU UNIHIFADHI MIMI KWA MAANA NAKUKIMBILIA WEWE Mungu, unihifadhi mimi*2 Kwa maana nakukimbilia Wewe *2 1. Bwana ndiye fungu la posho langu, Na la kikombe changu; Wewe unaishika kura yangu. Nimemweka Bwana mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuumeni kwangu, sitaondoshwa 2. Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini. Maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu. 3. Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako ziko furaha tele; Na katika mkono wako wa kuume Mna mema ya milele.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa