Ingia / Jisajili

Ndiwe Sitara Yangu

Mtunzi: Adolf A. Katambi
> Mfahamu Zaidi Adolf A. Katambi
> Tazama Nyimbo nyingine za Adolf A. Katambi

Makundi Nyimbo: Misa

Umepakiwa na: Adolf A. Katambi

Umepakuliwa mara 114 | Umetazamwa mara 312

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 6 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ndiwe sitara yangu Ee Bwana utanihifadhi na mateso (mateso) utanihifadhi na mateso. x 2

Utanizungusha utanizungusha utanizungusha nyimbo za wokovu nyimbo za wokovu nyimbo za wokovu utanizungusha nyimbo za wokovu. x 2

MASHAIRI

1. Heri aliyesamehewa, dhambi na kusitiriwa makosa. Heri Bwana asiyemhesabia upotovu,  ambaye rohoni mwake  ambaye  rohoni   mwake  hamna  kitu.
2. Nalikujulisha dhambi yangu, wala sikuuficha upotovu wangu. Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana,  nawe  ukanisamehe  upotovu  wa   dhambi   wa  dhambi  yangu.
3. Mfurahieni Bwana, Shangilieni enyi wenye haki. Pigeni vigelegele enyi wenye haki, ninyi nyote mlio wanyofu enyi nyote mlio wa nyofu wa moyo.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa