Ingia / Jisajili

Ninakiri

Mtunzi: Erick Mwaniki
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Mwaniki

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 64 | Umetazamwa mara 240

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
NINAKIRI 1. NinakirikwambaniMwanatena wake MungualiyetumwadunianikwaajiliyetukazaliwanayeBikira Maria akashindakifokwaajiliyetunimkuu Mungunimwenyenguvu, mwenyeupendo, Mungunimwenyenguvu, mwenyeupendo, (sifa) sifakwake (kwake) Munguwetu, (sifa) sifakwakeMunguwetu *2 2. Anafanyakazikwawotejinsiatakavyosikuzoteatuamsha pia atulishawalasizishukuhizokazizakeninamshukuruyeyemkarimunimkuu 3. HuyuMunguwetukajawanaupendomwingiambaohaunamipakaupendoajabuupendowakwelikaudhihirishakwetuwana wake aliyetuumbanimkuu 4. Cha ajabunikwambayeyeyuhaishinasikilamahalituposisiyeye pia yupotutumikianetu'pendezeMungukishatupendanetumpendeMungunimkuu Tumpesifa Baba sifakwakeMunguwetu, ndiyemkuu Baba nimkuuMunguwetu, tumshangilie Baba, tumhimidi Baba, utukufukwake Baba, naenzikwake, Baba tumpesifa, Baba Munguwetu *2

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa