Ingia / Jisajili

Wewe Ni Mteule

Mtunzi: Fred B. Kituyi
> Tazama Nyimbo nyingine za Fred B. Kituyi

Makundi Nyimbo: Miito

Umepakiwa na: FRED KITUYI

Umepakuliwa mara 860 | Umetazamwa mara 2,713

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

WEWE NI MTEULE – F.B.B KITUYI

Kiitikio

Wewe ni mteule wangu, wewe ni mteule wangu, mjumbe wangu,

 njoo nikutume mpendwa wangu njoo. x2

Shambani mwako Bwana mna kazi nyingi (mbali mbali),

Kazi ni nyingi, lakini watenda kazi kweli ni wachache,

Lakini watenda kazi kweli ni wachache. x2

1. Bwana tuma watenda, Ee Bwana tuma watenda kazi,

Kwani mavuno mengi lakini, watenda kazi wachache.

 2. Bwana akikuita, itika kweli usikatae,                                      

     wewe ni mtumishi wa Bwana,

     enenda shambani mwake.

 3. Hubiri kwa kuimba, hubiri na kwa maneno pia,                              

     na kwa vitendo vyako hubiri, hubiri usiogope.

 4. Bwana yuko na wewe, shetani hatakushinda  

     kamwe, mkono wa kuume wa Mungu,  

     umekuzunguka wewe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa