Ingia / Jisajili

Sauti Ya Bwana Yaniita

Mtunzi: John William Kasole (Joka)
> Tazama Nyimbo nyingine za John William Kasole (Joka)

Makundi Nyimbo: Miito

Umepakiwa na: frank moses

Umepakuliwa mara 796 | Umetazamwa mara 2,706

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
  1. (a) Sauti ya Bwana yaniita nikawachunge kondoo wachunge kondoo wako (mimi)

(I & III) Nitume mimi nikahubiri injilinitume mimi, unitume Bwana

(II) Nitume mimi nikahubiri nitume mimi, unitume Bwana

(IV) Nitume mimi nitume mimi- na nitume mimi

              (b) Nisikiapo nitaitika nikawakusanye kondoo wako Bwana kundini (kweli)

                                (I & III) Niite mimi nitaitika itika niite mimi uniite- Bwana.

                                (II) Niite mimi nitaitika niite mimi, uniite Bwana.

                                (iv) Niite mimi niite mimi na niite- Bwana.

  1. (a)Unipe nguvu ya kuhubiri, pindi utakaponiita kuchunga kundi lako (Bwana)

                               (I& III):Niimarishe nijaze nguvu nisiteteleke Bwana nipe nguvu- Bwana

                               (II)Niimarishe nijaze nguvu lelele Bwana, nipe nguvu Bwana

                               (IV) Niimarishe nijaze nguvu- nipe nguvu Bwana.

            (b)Unipe nguvu za kumshinda mwovu shetani pindi atakaponivuruga (Kweli

                               (I & III) Nijaze nguvu za kukemea mapepo na mashetani na maovu- yao

                               (II)  Nijaze nguvu mape-po- na mashetani, na maovu yao

                               (IV) Nijaze nguvu za kukemea- - maovu yao

  1. (a) Unifundishe nitachosema, uniongoze katika maneno yangu Eh Bwana (nami)

(I &III) Nitaenenda kadili ya mafundisho yako eh Bwana, mafundisho- yako.

(II) Nitaenenda fundi-sho- lako eh Bwana, mafundisho yako.

(IV) Nitaenenda yako eh Bwana- mafundisho yako

            (b) Nitumikishe eh Bwana wangu, nifanye vyovyote kadili – ya mapenz ya-ko (Bwana)

                               (I & III) Ninahitaji kutumikishwa kadili ya mapenziyo, ya mapenz yako.

                               (II) Ninahitaji kadi-li- ya mapenziyo ya mapenzi yako.

                               (IV)Ninahitaji ya mapenziyo- yamapenzi yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa