Ingia / Jisajili

Wewe Bwana Umekuwa Makao Yetu

Mtunzi: Erick Mwaniki
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Mwaniki

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Shukrani | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 227 | Umetazamwa mara 966

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
WEWE BWANA UMEKUWA MAKAO YETU Wewe Bwana Umekuwa, umekuwa makao yetu, wewe Bwana umekuwa umekuwa makao yetu *2 Kizazi kizazi kizazi kizazi, kizazi, baada ya kizazi *2 1. Wamrudisha mtu mavumbi usemapo rudini enyi wanadamu maana miaka elfu machoni pako, ni kama siku ya jana ikiisha kupita, na kama kesha la usiku 2. Wawagharikisha huwa kama usingizi asubuhi huwa kama majani yameayo asubuhi yachipuka na kumea jioni yakatika na kukauka. 3. Basi utujulishe kuzihesabu siku zetu tujipatie moyo moyo wa hekima wa hekima Ee Bwana urudi hata lini uwahurumie watumishi wako 4. Utushibishe asubuhi kwa Fadhili zako nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote Na uzuri wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu na kazi ya mikono yetu uithibitishe.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa