Ingia / Jisajili

Wewe Bwana Usiniache

Mtunzi: Joseph Rimisho
> Mfahamu Zaidi Joseph Rimisho
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Rimisho

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwanzo

Umepakiwa na: JOSEPH RIMISHO

Umepakuliwa mara 1,692 | Umetazamwa mara 4,361

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Wewe Bwana usiniache Mungu wangu, ufanye haraka kunisaidia, Ee Bwana wa wokovu wangu.x2

Shairi

1(a).Umekuwa msaada wangu, Bwana Mungu wangu, usinitupe.

  (b).Nimejua na sheria zako, kamilifu sana, uniokoe.

2(a).Nimekuwa mdhaifu sana, tena mnyonge sana, unifadhili.

 (b).Utazame na mateso yangu, nazo dhiki zangu, uniinue.

3(a).Upigane na adui zangu, wenye hila mbaya, niwe imara.

 (b).Nimeacha njia zangu mbaya, na kukurejea, wewe mwenyewe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa