Ingia / Jisajili

Bwana Amejaa Huruma

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 4,332 | Umetazamwa mara 8,676

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana amejaa huruma na neema Bwana amejaa huruma na neema x 2:

Mashairi:

1 (a) Akusamehe maovu maovu yako yote, Bwana amejaa huruma na neema,

1 (b) Akuponya magonjwa magonjwa yako yote, Bwana amejaa huruma na neema.

2 (a) Aukomboa uhai wako na kaburi, Bwana amejaa huruma na neema,

    (b) Akutia taji ya fadhili na rehema, Bwana amejaa huruma na neema.

3 (a) Bwana amejaa huruma na neema, Bwana amejaa huruma na neema,

   (b) Haoni hasira upesi ni mwingi wa fadhili, Bwana amejaa huruma na neema.

4 (a) Hakututenda sawasawa na hatia zetu, Bwana amejaa huruma na neema.

   (b) Wala hakutulipa kwa kadiri ya maovu yetu, Bwana amejaa huruma na neema

5 (a) Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, Bwana amejaa huruma na neema,

   (b) Ndivyo Mungu alivyoweka dhambi zetu mbali nasi, Bwana amejaa huruma na neema.

6 (a) Kama vile Baba awahurumiavyo watoto wake, Bwana amejaa huruma na neema.

   (b) Ndivyo Mungu alivyoweka dhambi zetu mbali nasi, Bwana amejaa huruma na neema.


Maoni - Toa Maoni

OSCAR CHIWALALA Feb 14, 2017
Hongera Kwa Tungo Nzuri na Yenye Tafakari Kaka Ubarikiwe Sana

Toa Maoni yako hapa