Ingia / Jisajili

Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana

Mtunzi: Haule Alfonce Innocent
> Tazama Nyimbo nyingine za Haule Alfonce Innocent

Makundi Nyimbo: Pasaka | Zaburi

Umepakiwa na: Alfonce Haule

Umepakuliwa mara 982 | Umetazamwa mara 3,430

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Hii ndiyo siku, aliyoifanya Bwana, Tutashangilia na kufurahia. X 2 Tutafurahia, tutashangilia, tutafurahia na kushangilia. X2

Mabeti:

1.(Sauti ya I & II) Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake ni za milele. Israeli aseme sasa ya kwamba fadhili zake ni za milele.

2. (Sauti ya I & II) Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa, Mkono wa kuume wa Bwana hutenda makuu. Sitakufa bali nitaishi, nami nitasimulia matendo yake.

3 (Sauti ya III & IV) Jiwe walokataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni, Neno hili latoka kwa Bwana, nalo nila ajabu machoni petu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa