Ingia / Jisajili

Siku Hii Ndiyo Aliyoifanya Bwana

Mtunzi: Reuben Maghembe
> Tazama Nyimbo nyingine za Reuben Maghembe

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Reuben Maghembe

Umepakuliwa mara 570 | Umetazamwa mara 2,777

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio : Siku hii ndiyo aliyoifanya Bwana. Tutashangilia na kufurahia siku hii *2.

Mashairi:

1. Siku hii ndiyo aliyoifanya Bwana, tutaishangilia, tutashangilia na kuimba aleluya aleluya.

2. Mshukuruni Bwana kwa kuwa yeye ni mwema. Mshukuruni Bwana, kwa maana fadhili zake ni fadhili za milele.

3. Mkono wa kuume mkono wa Bwana umetukuzwa. Mkono wake Bwana, mkono wa kuume wake Bwana huyatenda makuu.


Maoni - Toa Maoni

Peter kibona Mar 18, 2022
Nadhani maneno TUTASHANGILIA NA KURAHIWA yapo sawa kiliturjia ila naunga mkono amalizie TUTAFURAHIWA NAYO KWELI...na mwisho aweke ALELUYA

Ponziano Lukosi Mar 18, 2022
Wimbo mzuri isipokuwa nashauri maneno ayabadilishe ili yaendane na liturjia hasa ya siku ya Misa ya pasaka Mchana. kuanzia bar ya 4 atumie maneno haya "tu-i-sha-ngi-li-e na ku-fu-ra-hi-wa na-yo .. halafu bar ya 6 badala ya kutumia maneno "hi-i" atumie maneno "kwe-li" halafu mwishoni bar ya 7 na 8 atumie maneno "a-le-lu-ya" Asante

Toa Maoni yako hapa