Ingia / Jisajili

Aleluya (Huruma Ya Mungu)

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Misa | Mwaka wa Huruma ya Mungu

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 2,616 | Umetazamwa mara 7,290

Download Nota
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Aleluya, aleluya, aleluya, aleluya. Huruma ya Mungu ni ya milele, aleluya, aleluya, aleluya.

Mashairi:

1.Ee Bwana Yesu Kristo tuonyeshe uso wako wa huruma nasi tutaokoka jicho lako lililosheheni upendo litufundishe moyo wa huruma

2.Ee Bwana Yesu Kristo peleka roho wako Mtakatifu utuweke wakfu ili jubilei ya mwaka wa Huruma iwe jubilei yenye neema.

3.Jubilei hii ituwezeshe kutambua moyo wa toba na moyo wa msamaha ili kanisa lako litambue zawadi uliyotuachia.


Maoni - Toa Maoni

Paschal john Mar 17, 2024
Mwalimu naomba msaada kama nikipata namba yako itakuwa vizuri saaana.

william juma kikweo Aug 09, 2016
nawatakia baraka tele

Toa Maoni yako hapa