Ingia / Jisajili

Balozi Wa Kristo

Mtunzi: F. K. Wambua
> Tazama Nyimbo nyingine za F. K. Wambua

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Miito

Umepakiwa na: francis wambua

Umepakuliwa mara 427 | Umetazamwa mara 1,221

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BALOZI (F.K.WAMBUA©2014)

{Tenor/Bass: Bwana amenichagua

All: Pia amenituma niwe Balozi wake}x2

{Tenor/Bass: Nieneze Ujumbe

All: Nieneze ujumbe wa heri yake njema, nilete tumaini kwa watu wake wote}x2

  1. Huyu ni Mnyonge asiye na nguvu, nimetumwa niende nikamuinue, nimweleze dhamani yake duniani.
  2. Yatima wajane wananigojea, nimetumwa niende nikawafariji, niwape tumaini maishani mwao.
  3. Wafungwa gerezani wananigojea, nimetumwa niende kuwatangazia, kufunguliwa kwao wapate uhuru.
  4. Wagojwa na wote walio dhaifu, wamekata tama maishani mwao, nimetumwa niende ku-wafariji.
  5. Wapagani na wenye kutenda maovu,yale wanayotenda ni chukizo kweli, nimetumwa niende kuwahubiria.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa