Ingia / Jisajili

BWANA AMEJAA HURUMA

Mtunzi: Benjamin J.mwakalukwa
> Mfahamu Zaidi Benjamin J.mwakalukwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Benjamin J.mwakalukwa

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Benjamin JMwakalukwa

Umepakuliwa mara 804 | Umetazamwa mara 2,414

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA AMEJAA HURUMA

Bwana amejaa huruma bwana amejaa huruma amejaa huruma na neema

1.Akusamehe maovu yako yote akukuponyae magonjwa yako yote aukomboa uhai wako na kaburi akatia taji ya fadhiri na rehema.

2.Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki na hukumu kwa wote waonewao alimjulisha musa njia zake wana wa Israeli matendo yake

3.Ee nafsi yangu umuhimidi bwana wala usizisahau fadhiri Zake maana mbingu ziliinuka juu ya nchi kwa kadiri ya rehema zake kuu kwa wamchao


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa