Ingia / Jisajili

ANGALIENI MSIFANYE WEMA.

Mtunzi: Benjamin J.mwakalukwa
> Mfahamu Zaidi Benjamin J.mwakalukwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Benjamin J.mwakalukwa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Benjamin JMwakalukwa

Umepakuliwa mara 588 | Umetazamwa mara 1,967

Download Nota
Maneno ya wimbo

ANGALIENI MSIFANYE WEMA.

Angalieni angalieni angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu (kusudi) kusudi mtazamwe na wao.

Kwa maana mkifanya hayo hampati thawabu kwa baba yenu kwa baba yenu aliye mbinguni.

1.Basi wewe utoapo sadaka yangu usilige panda mbele yako Kama wanafiki wafanyavyo Katika .asinagogi na njiani ili waonekane kwa watu.

2.Amini nawambieni wamekwisha kupata thawabu yao Bali wewe utoapo sadaka hata na mkono wako wakuume usijue ufanyalo mkono wako wa kuume.

3.Tena usalipo usiwe Kama wanafiki kwa maana wao wanapenda kusali Hali wamesimama Katika masinagogi na Katika pande za njia ili waonekane kwa watu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa