Ingia / Jisajili

Bwana Asema

Mtunzi: Adolf A. Katambi
> Mfahamu Zaidi Adolf A. Katambi
> Tazama Nyimbo nyingine za Adolf A. Katambi

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Adolf A. Katambi

Umepakuliwa mara 67 | Umetazamwa mara 308

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Antifona / Komunio Dominika ya 16 Mwaka A
- Antifona / Komunio Dominika ya 16 Mwaka B
- Antifona / Komunio Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana asema tazama nasimama mlangoni mlangoni nabisha mlangoni nabisha. x2

MASHAIRI 

1. Mtu akiisikia sauti yangu na kuufungua kuufungua mlango mlango nitaingia kwake.
2. Nami nitakula pamoja naye pamoja naye, nitakula pamoja na yeye pamoja nami.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa