Mtunzi: Adolf A. Katambi
                     
 > Mfahamu Zaidi Adolf A. Katambi                      
 > Tazama Nyimbo nyingine za Adolf A. Katambi                 
Makundi Nyimbo: Mwanzo
Umepakiwa na: Adolf A. Katambi
Umepakuliwa mara 163 | Umetazamwa mara 411
                    Wimbo huu unaweza kutumika: 
                                            - Mwanzo Dominika ya 3 ya Kwaresma Mwaka A
                                            - Mwanzo Dominika ya 3 ya Kwaresma Mwaka B
                                            - Mwanzo Dominika ya 3 ya Kwaresma Mwaka C
                                    
Macho yangu humwelekea Bwana (wangu) Bwana daima x 2 (Naye atanitoa naye atanitoa miguu yangu katika wavu.) x 2
MASHAIRI
1.  Uniangalie  na  kunifadhili  maana mimi  mimi ni mkiwa  na mteswa.
2. Bwana  ni mwema na mwenye fadhili  kwahiyo Bwana  atawafundisha wenye dhambi njia.