Ingia / Jisajili

Ee Bwana Nakuinulia Nafsi Yangu

Mtunzi: Emil E Muganyizi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emil E Muganyizi

Makundi Nyimbo: Majilio | Zaburi

Umepakiwa na: Emil Mwemezi

Umepakuliwa mara 980 | Umetazamwa mara 2,489

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

       Ee Bwana ee Bwana nakuinuli-a, nakuinulia nafsi ya-ngu X2.

1. Ee Bwana unijulishe njia zako, unifundishe mapito yako, uniongoze katika kweli yako na kunifundisha.

2. Bwana yu mwema na mwenye adili, kwa hiyo atawafundisha wenye dhambi njia, wenye upole atawaongoza katika hukumu, wenye upole atawafundisha njia yake.

3. Njia zote za Bwana ni fadhili na kweli, kwao walishikao agano nazo njia zake, siri ya Bwana iko kwao wa-mchao, naye atawajulisha agano lake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa