Ingia / Jisajili

Hazina Ya Mbinguni.

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 9,309 | Umetazamwa mara 17,886

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Hiki ndicho nilichoandaa Ee Mungu wangu nakusihi ukipokee, hii ndiyo shukrani yangu,sehemu ya pato langu itokayo ndani ya mtima wangu.

Naileta mikononi mwako ambapo nondo hawataiharibu (kwa kutu),naileta mikononi mwako ambapo mwizi hawezi kuiba, ninaileta mahali salama iwe hazina yangu mbinguni

Mashairi:

1. Ninakutolea moyo wangu,wala si mifuko yangu, ndiyo kazi ya mikono yangu nakusihi uibariki.

2.Hata kama ni kidogo nakusihi ukipokee,kwani ndicho nilichoandaa kukutolea Ee Mungu wangu

3.Hiki ninachokutolea kikakupendeze Mungu wangu, kama ile sadaka ya mtumishi wako,mtumishi wako Abeli.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa