Ingia / Jisajili

Nitamuimbia Bwana

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Shukrani | Juma Kuu | Kwaresma

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,424 | Umetazamwa mara 4,989

Download Nota
Maneno ya wimbo


Kiitikio:

Nitamuimbia bwana (mimi) , nitamuimbia bwana, kwa maana bwana ametukuka sana (x2)

Mimi, nitamuimbia bwana (mimi) nitamuimbia bwana (x2), kwa maana bwana ametukuka sana (x2)

Mashairi:

1.Farasi na mpanda farasi, amewatupa baharini, bwana ni nguvu zangu na wimbo wangu, naye amekuwa wokovu wangu, yeye ni Mungu wangu nami nitamsifu.

2. Bwana ndiye jina lake, Farao na jeshi lake amewatupa baharini, bwana ni mtu wa vita na bwana ndilo jina lake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa