Ingia / Jisajili

Kwa Bwana Kuna Fadhili

Mtunzi: Alan Mvano
> Mfahamu Zaidi Alan Mvano
> Tazama Nyimbo nyingine za Alan Mvano

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alan Mvano

Umepakuliwa mara 2,334 | Umetazamwa mara 6,392

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Kwa Bwana kuna fadhili ) x2 

na kwake kuna ukombozi, kuna ukombozi mwingi

Mashairi

1. Ee Bwana toka vilindini nimekuliklika, Bwana uisikie sauti yangu, masikio yako na yaisikilize sauti ya dua zangu

2. Bwana kama wewe ungehesabu maovu ee Bwana nani angesimama? Lakini kwako kuna msamaha ili wewe uogopwe

3. Nimemngoja Bwana roho yangu imemngoja na neno lake nimelitumainia,

     nafsi yangu inamngoja Bwana kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Ee Israeli umtarajie Bwana

4. Maana kwa Bwana kuna fadhili na kwake kuna ukombozi mwingi, yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote


Maoni - Toa Maoni

Godfrey T. Joseph Mar 27, 2017
Nampongeza sana huyu kijana kwa utunzi wake wa nyimbo na naomba Mungu azidi kumjalia Neema na Baraka katika kipaji hicho alichojaliwa.

Toa Maoni yako hapa