Ingia / Jisajili

Maana Nimeyajua Makosa Yangu

Mtunzi: Stanslaus Butungo
> Mfahamu Zaidi Stanslaus Butungo
> Tazama Nyimbo nyingine za Stanslaus Butungo

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Stanslaus Butungo

Umepakuliwa mara 1,367 | Umetazamwa mara 4,748

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

NIMEYAJUA MAKOSA YANGU Zab 51: 1, 3-5, 9

Maana nimeyajua mimi makosa yangu- yote na dhambi yangu i mbele yangu i mbele yangu daimax 2, nimekutenda dhambi, nimekutenda dhambi, nimekutenda dhambi wewe peke yako, na kufanya maovu mbele ya macho yako wewe Bwanax 2

  1. We-we ujulikane kuwa una haki unenapo, na kuwa safi utoapo utoapo hukumu
  2. Tazama mimi naliumbwa katika hali hali ya uovu, mama yangu alinichukua alinichukua mimba hatiani
  3. Ee Bwana Uusitiri uso wako, usitame hatia zangu zote, uzifute dhambi zangu

Hitimisho (wote)

Ee Mungu unirehemu sawasawa na fadhili zako, kiasi cha wingi wa rehema zako uyafute makosa yangu (Uniumbie moyo safi) Uniumbie moyo safi, uifanye upya roho iliyo tulia ndani yangu, (usinitenge na uso wako, wala Roho Mtakatifu usiniondolee)x 2


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa