Ingia / Jisajili

Neno Moja Nimelitaka Kwa Bwana

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,325 | Umetazamwa mara 6,529

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Neno moja nimelitaka kwa bwana, nimelitaka kwa bwana, nalo ndilo nitakalolitafuta (x2). Nikae nyumbani mwa bwana, nikae nyumbani mwa bwana, nikae nyumbani mwa bwana milele; niutazame uzuri wake hekaluni mwake (x2)

Mashairi:

1. Mradi bwana atanisitiri bandani mwake, atanisitiri ile siku ya mabaya, atanisitiri katika sitara yake ya hema yake na kuniinua juu ya mwamba.

2. Basi kinywa changu kitainuka juu ya adui zangu wanaonizunguka, nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake, nitaimba, nitaimba, Naam; nitamhimidi bwana.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa