Ingia / Jisajili

Nistahilishe Ee Bwana

Mtunzi: Nsolo S. Stephen
> Mfahamu Zaidi Nsolo S. Stephen
> Tazama Nyimbo nyingine za Nsolo S. Stephen

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Zaburi

Umepakiwa na: Nsolo Stephen

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 7

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Nistahilishe Ee Bwana nipokee fumbo la wokovu, Bwana ulisema aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu, huyo ana uzima, uzima wa milele, hukaa ndani yangu nami hukaa ndani yake, nami nitamfufua siku ya mwisho

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa