Ingia / Jisajili

Nitakaa Nyumbani mwa Bwana

Mtunzi: Valentine Ndege
> Mfahamu Zaidi Valentine Ndege
> Tazama Nyimbo nyingine za Valentine Ndege

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 539 | Umetazamwa mara 1,820

Download Nota
Maneno ya wimbo

Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana nami nitakaa nyumbani mwa Bwana, (milele milele milele milele nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele milele x2).

  • 1.a) Bwana ndiye mchungaji wangu:
  •     b) Sitapungukiwa na kitu                   Katika malisho ya majani mabichi hunilaza kando ya maji ya utulivu                                                                     huniongoza, kando ya maji ya utulivu huniongoza.


2.Hunihuisha nafsi yangu huniongoza katika njia ya haki kwa ajili ya jina lake jina lake, nijapopita katika bonde la     uvuli wa mauti sitaogopa sitaogopa mabaya.

  • 3.a) Waandaa meza mbele yangu:
  •     b) Machoni pa watesi wangu        Umenipaka mafuta kichwani kichwani pangu nacho kikombe kikombe changu                                                                 kinafurika nacho kikombe changu kinafurika.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa