Ingia / Jisajili

SHUKRANI KWA MUNGU

Mtunzi: Ernest Magunus
> Mfahamu Zaidi Ernest Magunus
> Tazama Nyimbo nyingine za Ernest Magunus

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Shukrani

Umepakiwa na: ERNEST MAGUNUS

Umepakuliwa mara 543 | Umetazamwa mara 1,806

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

        MASHAIRI:

1(a). Umenipa uhai - umeniepusha nazo ajali za njiani,

1(b). Umenionyesha Elimu - umenipa Afya njema nakushukuru.

2(a). Umenionyesha marafiki wema - umenipa Moyo wakukutumikia,

2(b). Umenipa Moyo wa msamaha - umenisamehe pindi nilipokukosea.

3(a). Umenionya nakunirekebisha - umenifariji nilipokuwa na huzuni,

3(b). Umesaidia amani, upendo - katika nchi yangu.

KIITIKIO:

 Ee Bwana Mungu Nifanye nini Nikushukuru, Nikushukuruje Ee Mungu, Kwa mema mengi ulo nijalia Nifanye nini Bwana Nikushukuruje.×2


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa