Ingia / Jisajili

Wapandao kwa machozi.

Mtunzi: Mayebwa.ii.ek.
> Mfahamu Zaidi Mayebwa.ii.ek.
> Tazama Nyimbo nyingine za Mayebwa.ii.ek.

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 257 | Umetazamwa mara 1,222

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Wapandao kwa machozi, wakimlilia Mungu, katika mavuno yao ya safari ya mbinguni x2. {Wakiomba kila wakati kwa machozi yenye Huruma wakikesha kutafuta, amani ya Mungu mwenyezi, wakiwa na uchungu wakutafuta ufalme wa mbinguni x2.}

1.Unyenyekevu wa Mungu, ni Rehema kwa vizazi vyote hutulisha na kuponya kila amwombaye.

2.Kwa upendo wa amani, Mungu Baba anatujalia uambapo tukumbuke kutubu kosa.

3.Kisima cha wokovu, Bwana Yesu anatualika, tusimame kwa IMANI tukiomba Mungu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa