Ingia / Jisajili

Shambani mwa Bwana

Mtunzi: Mayebwa.ii.ek.
> Mfahamu Zaidi Mayebwa.ii.ek.
> Tazama Nyimbo nyingine za Mayebwa.ii.ek.

Makundi Nyimbo: Miito

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 498 | Umetazamwa mara 2,279

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Shambani mwa Bwana kuna mavuno mengi x2 {Shambani mwa Bwana kuna mavuno mengi lakini watendao kazi wavunao ni wachache x2}

1.Watu wake Bwana wametawanyika wamechoka, kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.

2.Basi muombeni Bwana wa mavuno apeleke, watenda kazi zaidi katika shamba lake.

3.Nawapeni amri na mamlaka yote na uwezo, tiisheni pepo takaseni wenye Magonjwa.

4.Nakatika njia zenu hubirini tangazeni, mkisema ufalme wa mbingu umekaribia


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa