Ingia / Jisajili

BWANA ANAKUJA

Mtunzi: Conrad Mghanga
> Mfahamu Zaidi Conrad Mghanga
> Tazama Nyimbo nyingine za Conrad Mghanga

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: Conrad Mghanga

Umepakuliwa mara 255 | Umetazamwa mara 916

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
BWANA ANAKUJA Bwana anakuja Bwana anakuja awahukumu mataifa kwa haki x2 {(mataifa) mataifa (mataifa) kwa haki yake (mataifa) mataifa (haaha) kwa haki yake)} x2 1. Mwimbieni Bwana (ooh) zaburi kwa kinubi, kwa kinubi na kwa (ooh) sauti ya zaburi, kwa panda na sauti ya baragumu (mshangilieni mbele za mfalme Bwana)x2 2. Bahari ivume, (ooh) na vyote vijazavyo, na wanaokaa (ooh) ndani ya ulimwengu, na mito, na ipige na makofi, (milima ifurahi mbele za Bwana) x2 3. Kwa maana Bwana, (ooh) anakuja nchini, kuhukumu nchi, (ooh) na wale wenye nchi, a-tauhukumu ulimwengu, (na mataifa kwa adili kwa adili) x2

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa