Ingia / Jisajili

Divai Na Mvinyo

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,387 | Umetazamwa mara 5,759

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo


Kiitikio:

Divai huleta dhihaka na kileo huleta ugomvi yeyote anayevutiwa navyo hana hekima (x2)

Mashairi:

1. Usijionyeshe kuwa wewe u-hodari, hodari wa kunywa pombe, kwa maana pombe hiyo imeangamiza, imeangamiza wengi

2.Pombe ni kama uhai ukinywa kwa kiasi, pombe imewekwa ili itufurahishe itufurahishe nafsi zetu

3. Kunywa pombe kwa wakati tena kwa kiasi, pombe inaleta shangwe moyoni na furaha moyoni.

4. Kunywa pombe kupita kiasi kunasababisha kichwa kuuma, kunasababisha uchungu na fedheha.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa