Mtunzi: Deogratius Matojo
> Mfahamu Zaidi Deogratius Matojo
> Tazama Nyimbo nyingine za Deogratius Matojo
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Deogratius Didas
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Mkesha wa Pasaka
Ee Bwana nitakutukuza kwa maana umeniinua wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu.
1. Ee Bwana Mungu wangu sikia sauti ya kilio changu nalikulilia.
2. Ee Bwana umenitoa shimoni kutoka kwa maadui ukaniponya.
3. Ee Bwana nisaidie katika shida na mateso yote nifanye imara.