Ingia / Jisajili

Fadhili Za Bwana

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 673 | Umetazamwa mara 2,710

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Fadhili za Bwana nitaziimba milele kwa kinywa changu nitavijulisha vizazi vyote uaminifu wako x 2.

Mashairi:

1. Maana nimesema fahili zitajengwa milele, katika Mbingu nitaudhibitisha uaminifu wako.

2. Nimefanya Agano na mteule wangu nimemwapia Daudi mtumishi wangu.

3. Wazao wako nitawafanya imara milele, Nitakijenga kiti chako cha enzi hata milele.

4. Yeye ataniita wewe baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu.

5. Hata milele nitamwekea fadhili zangu, Na Agano langu litafanyika amini kwake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa