Ingia / Jisajili

Heri Kila Mtu Amchaye Bwana

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Ndoa | Zaburi | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 2,823 | Umetazamwa mara 6,191

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Heri kila mtu amchaye Bwana aendae katika njia zake x 2.

1. Taabu ya mikono yako hakika utaila, utakuwa heri na kwako kwema.

2. Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, vyumbani mwa nyumba yako.

3. Wanao kama miche ya mizeituni, wakiizunguka meza yako.

4. Tazama atabarikiwa hivyo yule amchaye Bwana, Bwana akubariki toka sayuni.

5. Uone uheri wa Yerusalemu, siku zote za maisha yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa