Ingia / Jisajili

NITAMSIFU KWA FURAHA

Mtunzi: Benjamin J.mwakalukwa
> Mfahamu Zaidi Benjamin J.mwakalukwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Benjamin J.mwakalukwa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Benjamin JMwakalukwa

Umepakuliwa mara 361 | Umetazamwa mara 1,525

Download Nota
Maneno ya wimbo

NITAMSIFU KWA FURAHA

mimi kwa furaha nitamsifu bwana,na kumtukuza kwa neema zake nitalifu jina lako tukufu na kuimba nyimbo zako kwa shangwe kwa furaha kubwa nitapaza sauti kwa midomo yangu nitamuimbia.

1.Hata na miguu yangu haitaona haha, kusimama Katika Mahalia patakatifu Pako.

2.Nitasimulia matendo yako kwa imani Wala ulimi wangu hauta simama kukusifu.

3.Nitaenda katikati ya mataifa yote kutangaza ukuuu wako kwa kila kiumbe chako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa