Ingia / Jisajili

Mnanisikitisha

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,069 | Umetazamwa mara 3,455

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Mbona mnanisikitisha sana? mbona mnanihuzunisha, mbona mnanifedhehesha enyi viumbe wangu? Mmeyasahau mahusia mmezisahau njia zangu, mmeacha mafundisho yangu mkafata njia zenu, mwanihuzunisha sana mwanifedhehesha sana kwa kuacha mafundisho yangu.

Mashairi:

1.Haya mnayoyafanya si mafundisho yangu, haya mnayoyafanya si mafundisho yangu, kweli mwanisikitisha sana, tena mwanihuzunisha sana tafakarini njia zenu enyi viumbe wangu.

2.Nirudieni, nirudieni, fanyeni toba ya kweli, fanyeni toba ya kweli jipatanisheni na mimi, jipatanisheni na mimi, rejeeni mafundisho yangu niliyowafundisha.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa