Ingia / Jisajili

Toeni Miili Yenu iwe Dhabihu.

Mtunzi: Dr.Damas Michael
> Mfahamu Zaidi Dr.Damas Michael
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr.Damas Michael

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Damasi Michaeli

Umepakuliwa mara 251 | Umetazamwa mara 1,052

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Toeni mili yenu, iwe dhabihu kwa Bwana. Nayo maisha Yenu yawe manukato kwake, hiyo ndiyo njia ya kumuabudu 1.kabla ya kutoa fedha na mazao yetu tunaalikwa tujitoe wenyewe 2.Bwana hupendezwa na kweli ya moyo, moyo mnyofu na mtiifu. 3.Mtayatambua mapenzi ya Mungu nakuyatenda yale yaliyomema.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa