Ingia / Jisajili

Uwe Kwangu Mwamba Wa Nguvu (No.3)

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 2,161 | Umetazamwa mara 7,127

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Uwe kwangu mwamba wa nguvu, nyumba yenye maboma ya kuniokoa, ndiwe genge langu na ngome yangu kwaajili ya jina lako niokoe unichunge.

Mashairi:

1. Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele,nisiaibike milele,nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye uniokoe hima.

2.Utanitoa katika wavu, utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri, maana wewe bwana ndiwe ngome yangu.


Maoni - Toa Maoni

Deo Mkongwa Oct 03, 2019
Napenda Kuwapongeza kwa kazi hii nzuri ya uinjilishaji. Ningependekeza na Masiu pia tuweke.... (Vespere) Michango tunatuma wapi?

Toa Maoni yako hapa