Ingia / Jisajili

Ahimidiwe Mungu Baba

Mtunzi: Alexander M. Y. Kiyogera
> Mfahamu Zaidi Alexander M. Y. Kiyogera
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander M. Y. Kiyogera

Makundi Nyimbo: Utatu Mtakatifu

Umepakiwa na: Mashaka Yakobo

Umepakuliwa mara 20 | Umetazamwa mara 40

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ahimidiwe Mungu Baba, na mwanawe pekee, na Roho Mtakatifu kwa sababu ametufanyia huruma yake. X2

Beti.

1. Usifiwe utatu, utatu mtakatifu na umoja usiogawanyika.

2. Mungu Baba ni Muumba, Mungu Mwana ni Mkombozi, Mungu Roho Mtakatifu ni mfariji.




Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa