Ingia / Jisajili

Wito Wa Haki Na Usawa

Mtunzi: Alexander M. Y. Kiyogera
> Mfahamu Zaidi Alexander M. Y. Kiyogera
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander M. Y. Kiyogera

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Mashaka Yakobo

Umepakuliwa mara 26 | Umetazamwa mara 93

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Beti

1. Vilio, vimetawala, katika, jamii zetu. Mama zetu, wananyanyaswa, dada zetu hawako huru huu ni wito....

*Kitikio*

Tulimee, shamba la haki tupandee, mchee wa usawa, tuvunee, haki kwa wote tupatee maendeleo sawaaa

2. Urithi, siyo wa mama mjanee, atupwa mbali, elimu, dada hapati jinsia yamuadhibu huu ni wito....

3. Uchumii, ni wake baba na mama, ni mjakazi, nyadhifa serikalini wanawakee, ni wachache huu ni wito...

4.  Sheriaa, zisizo haki zifutwee, ziondolewe. Zitungwe, zenye kuleta usawa, kwa watu wote huu ni wito..




Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa