Ingia / Jisajili

Nitamwimbia Bwana

Mtunzi: Alexander M. Y. Kiyogera
> Mfahamu Zaidi Alexander M. Y. Kiyogera
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander M. Y. Kiyogera

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: MASHAKA YAKOBO

Umepakuliwa mara 75 | Umetazamwa mara 299

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nitamwimbia Bwana kwa maana ametukukuka sanax2 Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini baharinix2

Beti

1 Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu, naye amekuwa wokovu wangu, yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu, ni Mungu wa Baba yangu nami nitamtukuza.

2. Bwana ni  Mungu wa vita, Bwana ndiye jina lake, magari ya farao na jeshi lake amewatupa Baharini, maakida wake wateule wamezama katika bahari ya Shamu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa