Ingia / Jisajili

Nami Nimezitumainia Fadhili Zako

Mtunzi: Alexander M. Y. Kiyogera
> Mfahamu Zaidi Alexander M. Y. Kiyogera
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander M. Y. Kiyogera

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: MASHAKA YAKOBO

Umepakuliwa mara 143 | Umetazamwa mara 442

Download Nota
Maneno ya wimbo

Nami nimezitumainia fadhili zako,moyo wangu na uufurahie wokovuwako, naam nimwimbie Bwana, kwakuwa Bwana amenitendea kwa ukarimu

1. Adui yangu asije akasema nimemshida, watesi wangu wasifuraji nidondoshwapo.

2. Bwana fadhili zako siwezi kuzihesabu, wala mimi Bwana siwezi kukulipa

3. Bwana nitalitaja jina lako daima, na ulimi wangu milele utakusifu.



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa