Mtunzi: Alexander M. Y. Kiyogera
> Mfahamu Zaidi Alexander M. Y. Kiyogera
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander M. Y. Kiyogera
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Mashaka Yakobo
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiKwakuwa ilikupendeza uwaite kwako Bwana, e Mungu wangu Mungu mwema uwape pumziko la amanix2.
1. Japo walikuwa ni wazazi wetu, japo walikuwa ni walezi wetu, uwape pumziko la amani.
2. Japo walikuwa washauri wetu, ndugu zetu pia wafariji wetu, uwape pumziko la amani.
3. Wasamehe Bwana kwa makosa yao, wapokee Bwana uwinguni kwako, uwape pumziko la amani.