Mtunzi: Alexander M. Y. Kiyogera
> Mfahamu Zaidi Alexander M. Y. Kiyogera
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander M. Y. Kiyogera
Makundi Nyimbo: Kwaresma
Umepakiwa na: Mashaka Yakobo
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiEs Bwana wewe wavipenda vitu vyote vilivyopo×2, wala hukichuki kitu chochote ulichokiumba×2.
1. Unawasamehe watu dhambi zao, kwa ajili ya kufanya kitubio, na kuwahurumia kwakuwa wewe ndiwe Mungu wao.
2. Lakini wewe unaviachilia vyote, maana ni vyako, e Mungu mkuu mpenda roho za watu, maana roho yako isiyoharibika imo katika vyote.