Ingia / Jisajili

E E Bwana Unifa Ye Chombo Cha Amani.

Mtunzi: Alexander M. Y. Kiyogera
> Mfahamu Zaidi Alexander M. Y. Kiyogera
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander M. Y. Kiyogera

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: MASHAKA YAKOBO

Umepakuliwa mara 172 | Umetazamwa mara 565

Download Nota
Maneno ya wimbo

Ee Bwana unifanye chombo Cha amani, amani yako.

Beti

1. Niweze leta mapendo wanapochukiana.

2. Niweze kupatanisha palipo na magomvi.

3. Kusiko na tumaini nilete tumaini.

4. Kuliko enea giza nilete hapo mwanga.

5. Niweze leta furaha palipo na huzuni.




Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa